Siasa za Saudia
TEHRAN (IQNA)- Taarifa zinasema mhubiri mmoja mashuhuri nchini Saudi Arabia amehukumiwa kunyongwa katika kile kinachoongokana ni ukandamizaji dhidi ya wanaopinga sera za Ufalme huo.
Habari ID: 3476408 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/15